vandiayke
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 266
- 87
Youngblood, mbona unatuzibia fursa?Naomba uni PM
Youngblood, mbona unatuzibia fursa?Naomba uni PM
Tulia mkuu,tunakamata fursaYoungblood, mbona unatuzibia fursa?
NipmNaomba uni PM
Haswa amchek Baba Swalehe atamsaidiaCheck na lemutuz akili kubwaz king of all social networks calling himself SUPER MONGUL!
Anakufaa sana..
Hiyo PM ukiigeuza unapata MP wa jeshi yaani millitary policeNaomba uni PM
Jua limezama kubali matokeo tuKichwa cha habari kimejitosheleza, natafuta Mme Mtu mzima, umri 45 - 55.
Nipm saivi... Zile za mwanzo hazifungukiNaomba uni PM
NAOMBA TUWASILIANE KWA 0714560515 NINA MIAKA 48Kichwa cha habari kimejitosheleza, natafuta Mme Mtu mzima, umri 45 - 55.
Posti ya tano hii ya kutafuta mchumba/mumeKichwa cha habari kimejitosheleza, natafuta Mme Mtu mzima, umri 45 - 55.
Posti ya tano hii ya kutafuta mchumba/mume
Wote utawapa nn cha ajabu unataka mtu mzima umr wako unatangaza miaka 21
Queen Rover, naona umebadili mawazo/masharti.Sifa Zangu
Jinsia Yangu KE, Miaka 22, Naishi Dar Es Salaam... Nina umbo la wastani/urefu wa wastani, Rangi ya chocolate, Ni mjasiliamali na pia najiendeleza kielimu, sina mtoto,. Ni Mkwel na Mcha Mungu, Mkristo, Nina Akili Ya Maisha, Ni Muelewa na Nipo makini sana hasa kwenye mambo ya maendeleo, ninajali na nina heshima, nimefunzwa vizur kwetu, mengine tutafahamiana PM
Sifa Za Anaetakiwa
1.Miaka 28 na kuendelea
2.Awe Mkristo
3.Asiwe Mweusi Wala Mfupi
4.Awe na kazi maalumu ya kueleweka inayomuingizia kipato
5.Usiwe Mkurya wala Mjita
6.Usiwe Mme Wa Mtu (I want a free man to build future with)
7.Awe Muelewa, Mpole na anaejielewa anahitaji nini katika maisha.
8.Ukiwa na mtoto sio tatizo
Kama ni kwel upo serious na una hitaji mke ili muyajenge maisha pamoja, na unakidhi sifa hizo hapo juu, ni PM tufahamiane zaidi.... Mbarikiwe.
Jion njema.