jipubado maelezo mfanyakazi au biashara
mfanya biashara
hahahaha..siwema??Kupata mkopo TZ, ni ngumu kuliko yule msanii kupata ujauzito.
Kimuonekano inaonekana unajaribu kuingia kwenye biashara.Nakushauri kwa mara ya mwanzo bora usubiria miaka kumi ili upate pesa yako.
Ila mkopo wa gari ni hatari tena hatari saana tofauti na unavyodhania.
Mie namiliki hivyo virukuu unavyosema,na bodaboda,na nilianza na moja mpaka leo na kadhaa,sidaiwi na mtu na sikuchukua mkopo kwa mtu,ila changamoto naziona,na huwa najiuliza je ningekuwa na mkopo bank sijui hali ingekuwaje.
Maana magari yote uliyoodhoresha ni kwamba una target kuyatia kwenye biashara,umevyotaja tu aina nimejua unaelekea wapi.
Ni bora uanze na chako kimoja then ndio uingie kwenye mikopo.Unaweza kukuta uharaka wa maisha unakuja kukufanya hata ulichokuwa nacho kuchukuliwe.