Natafuta mke

Natafuta mke

winmulu

Member
Joined
Apr 21, 2015
Posts
40
Reaction score
8
Mimi ni mwanaume nimesoma na nimeajiriwa serikalini. Ninatafuta mwanamke aliye tayari kuolewa na kulea familia.
Mimi nina umri wa miaka 30.

Aliye tayari ani Pm
 
Na Mimi jamani natafuta mke ,Mimi ni kijana wakiume ninaunri wa miaka 32 sina mke wala mtoto namtafuta mke mwenye umri kati ya miaka 26 hadi 28 aciwe mweupe awe mweusi wa kunga'aa anbaye yupo tayali ani pm!
 
winmulu

Dadafua vigezo mchumba mfano; umri, dini n.k.
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: amu
winmulu
mdocho

Hili ni jambo la kheri tunawaombea mpate wenza wema mtakaokuwa na familia bora. Hii itakuwa ni sifa kubwa kwa wanajamii na wamiliki wa JF
 
Last edited by a moderator:
Nanafanya kazi na shilika moja private hapa mjini chamsingi nataka mpenzi nikaye mpata awe tayali kwenda kupima afya zetu!!!
 
Mmmh! Waoaji waweke sura zao !, kama za scratch huyu joy4v aache kusumbuka
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom