oh! you seem to be experienced with the issu my friend..!Nakumbuka nimewahi kutana na mwanamme wa namna hii, baada ya maongezi marefu kiasi nikaona kweli its okey kwa yeye kutafuta mke despite his age factor!
Naassume na kwa huyu sio lazima sababu ziwe mbaya au za kizembe. Ila tu ingefaa awe muwazi zaidi.
Habari zenu!nina miaka 45,natafuta mke;awe na umri kuanzia miaka 40 na kuendelea na awe tayari kuanza maisha ya ndoa.KARIBU