Natafuta Mke

Tripp

JF-Expert Member
Feb 2, 2018
899
1,543
Habari wadau,

Mimi nina umri wa miaka 31, mrefu mweusi, nimejiajiri, dini mkristo, nahitaji dada aliye tayari kwa ndoa kwa mwaka huu.

Kigezo kikubwa ni umri miaka kuanzia 31 mpaka 40, kama ana watoto wasizidi wa 2 ndio uwezo wangu wa kulea.

Nahitaji mtu alikuwa tayari na serious.
 
Habari wadau,

Mimi nina umri wa miaka 31, mrefu mweusi, nimejiajiri, dini mkristo, nahitaji dada aliye tayari kwa ndoa kwa mwaka huu.

Kigezo kikubwa ni umri miaka kuanzia 31 mpaka 40, kama ana watoto wasizidi wa 2 ndio uwezo wangu wa kulea.

Nahitaji mtu alikuwa tayari na serious.
financial services
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom