Ndiyo, nasubiri wamama wanaotafuta wazee wa kuwaoa ili nioe mmoja.Kwani na wewe Mzee?
kwanza nikupe hongera mkongwe mwenzangu japo mi ni mdogo kwako kwa uamuzi wa kutafuta mwenza wa kuanzisha maisha. Wapo wamama wengi tu wanahitaji wenza, zama na huko unakosali utawapataNipo dar na nahitaji mwanamke wa kuanzisha naye mahusiano ambaye atakuwa mke wangu. Muhimu awe mkweli na muamunifu na umri wake usiZidi miaka 54 Mimi umri wangu ni miaka 60 na tuwasiliane basi tuweze fahamiana
Upo sahihi,umri unavyosonga ndio unavyoexprience ladha ya hiyo kitu...hapana Siwezi jaribu maana Nina Mzee mwenzie hapa nataka kumrusha SandakaraweEeeh, nasema ukweri kabisa Jo, ukigusa tu utelezi wa kutosha, sijajua kama libido inaongezeka au niaje😅
Kama umri na vigezo vinaruhusu jaribu bahati mama.
🤣🤣🤣🤣Dah!watauliza tu kama umeshapata NSSF yakoNdiyo, nasubiri wamama wanaotafuta wazee wa kuwaoa ili nioe mmoja.
Hata hivyo huyo wa 60+ ni mbali kidogo kwako, we unatakiwa kuja kwetu sie wa hapa kati😀😀😀😀😅nimecheka sana!!Upo sahihi,umri unavyosonga ndio unavyoexprience ladha ya hiyo kitu...hapana Siwezi jaribu maana Nina Mzee mwenzie hapa nataka kumrusha Sandakarawe
Hii sentensi yako Ina ujumbe mzito sana.....basi Kila lakheri Kwa brazaUnataka tabia gani kwa mwanamke wa 35+? Akitaka kutulia anatulia tu, kama bado ana michezo ya hovyo basi tena..
Nyie ndio watamu Sasa🤣🤣🤣Yaani mna kavibe ka ujana,halafu mna kavibe flan kakukaribisha uzee!maisha yanakuwa na msisimko😋Hata hivyo huyo wa 60+ ni mbali kidogo kwako, we unatakiwa kuja kwetu sie wa hapa kati😀😀😀😀😅nimecheka sana!!
Hajasema dini yake, labda huwa hasali popote.kwanza nikupe hongera mkongwe mwenzangu japo mi ni mdogo kwako kwa uamuzi wa kutafuta mwenza wa kuanzisha maisha. Wapo wamama wengi tu wanahitaji wenza, zama na huko unakosali utawapata
Wanaowaita watu wenye 40+ ni wazee labda ni watoto wa miaka 18Huu uzi unaonyesha wazee wa 40+ tumejaa humu, tuanzishe uzi wetu kabisa, vijana wote wapigwe block wasiweze kuchangia😀
Hawajui huo ndio umri wa kuenjoy, wanatuita wazee. Ila mimi naukubali sana huo umri...Wanaowaita watu wenye 40+ ni wazee labda ni watoto wa miaka 18
Mchawi ni mazoezi tu.....Hawajui huo ndio umri wa kuenjoy, wanatuita wazee. Ila mimi naukubali sana huo umri...
😂😂😂😂 Ulisii naonaMiaka 60 anataka shogaetu awe mjane mapema hivyo au atapata ulisii
🤣🤣🤣Kwani gigy money si ndio anaimbaga Nampa papa na ugali wa dona🤣🤣🤣papa nahisi atakuwa samakiDada umeamka na hangover za jana..??
Papa ndo nini? 😂😂😂😂
Wa Shabani🤣🤣🤣😂😂😂😂 Ulisii naona