Natafuta Mke

Unaoa dini? Wanawake wote unaowaona huko msikitini umeshindwa kuoa ndiyo uoee ghost woman?we una matatizo
 
Wakristo unaweza kukuta hata 37 bado hajaoa na Hana presha especially wachaga na wagogo , Kwa muislamu aliyeshika dini (sio Hawa wahuni kisa anaitwa Muamedi Basi anajiita muislamu, pombe, Malaya, kitimoto Hadi kongoro za kitimoto wanakula) sio rahisi kukuta muislamu wa kweli @33 Hana mke.
Tuambie, wewe Ni Muamedi au Mohammed.?
 
Nenda msikiti wa karibu na wewe kaonane na Imamu.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…