Napenda kuchukua fursa hii kutafuta mkee maana huu ndo muda sahihi
Sifa za mke ninaemuhitaji
1)Maji ya kunde au mweupe
2)Sio lazima awe na ajira maana mimi ninayo ajira nzuri tu
3)Lazima awe muislamu
4)Apende masuala ya biashara na kujishughulisha
5)Akijua kusoma inatosha
6)Umri kuanzia miaka 35 kushuka chini
Sifa zangu
1)Mweusi
2)Ninaajira ya kudumu serikali na mfanyabiashara
3)Muislamu
4)Umri wa wangu 35
Sifa za mke ninaemuhitaji
1)Maji ya kunde au mweupe
2)Sio lazima awe na ajira maana mimi ninayo ajira nzuri tu
3)Lazima awe muislamu
4)Apende masuala ya biashara na kujishughulisha
5)Akijua kusoma inatosha
6)Umri kuanzia miaka 35 kushuka chini
Sifa zangu
1)Mweusi
2)Ninaajira ya kudumu serikali na mfanyabiashara
3)Muislamu
4)Umri wa wangu 35