Jamaaan jaman,ndo kutaka kua wa kidigtal,,,kwann usingebakia TV chogo??Hahaaa mkuu , nadhani ni hyo nyembamba
Mkuu kwani ni maamuzi!, ni maumbile kutoka Kwa MunguJamaaan jaman,ndo kutaka kua wa kidigtal,,,kwann usingebakia TV chogo??

Umekidhi vigezoAwe na umbo la kike,? Duh

Hahaha basi nyie ndo wake wzuri maana Masofa hayaishi mapema wala godoro halitochoka mapema !!Mkuu kwani ni maamuzi!, ni maumbile kutoka Kwa Mungu![]()


Sijakidhi aisee, ina tafsiri flani kuna mkuu hapo juu kaelezea "umbo la kike "lipojeUmekidhi vigezo![]()
Umbo kama lako mkuuSijakidhi aisee, ina tafsiri flani kuna mkuu hapo juu kaelezea "umbo la kike "lipoje
Aki ya kweli yaani hizo ndyo sifa zetu wenye flat ,haya banaHahaha basi nyie ndo wake wzuri maana Masofa hayaishi mapema wala godoro halitochoka mapema !!
Kumbe hata godoro.lapamba linafaaa....et ?? Mlio Flat mnafanya Saman za ndani zidumu sanaa kwakua hazikandamizwi sana![]()
Aki ya kweli yaani hizo ndyo sifa zetu wenye flat ,haya bana
hongera yakoHapana ebu fanya kupitia tafsiri yake hapo juu mkuuUmbo kama lako mkuu
Huyu anataka mke kama Sanch, mwambie aende instaHapana ebu fanya kupitia tafsiri yake hapo juu mkuu
Very very true mkuuMkee aukotwi mke anatafutwa unabidi kushinda upendo wake kwako , ili akuchague wewe, wanawake wanapenda kujiona wa thamani hasa anapochaguliwa kutoka katika walio wengi , mwanamke gani anayependa kujipeleka mwenyewe kwako , kesho umwambie ulinishobokea mwenyewe!
Mkee aukotwi mke anatafutwa unabidi kushinda upendo wake kwako , ili akuchague wewe, wanawake wanapenda kujiona wa thamani hasa anapochaguliwa kutoka katika walio wengi , mwanamke gani anayependa kujipeleka mwenyewe kwako , kesho umwambie ulinishobokea mwenyewe!
ujumbe umefika wakat nishajipeleka tayari.... Subiri nikasitisheWew shauri yako jipeleke tu wanaume hatuamini kuokota dodo kwenye mwarobaini , yaani mwanaume demu ambaye akumtongoza mwenyewe ni sawa na ajari , kwanza yeye mwenyew atafikilia kama huyu demu ameweza kufanya hiv kwangu je , ni wangapi alishawai kujipeleka kwao ,ujumbe umefika wakat nishajipeleka tayari.... Subiri nikasitishe
Wew shauri yako jipeleke tu wanaume hatuamini kuokota dodo kwenye mwarobaini , yaani mwanaume demu ambaye akumtongoza mwenyewe ni sawa na ajari , kwanza yeye mwenyew atafikilia kama huyu demu ameweza kufanya hiv kwangu je , ni wangapi alishawai kujipeleka kwao ,
point taken