Habari za leo wana JF
Najitokeza mbele yenu ili kuweka wazi yaliyo moyoni mwangu. Sifa zangu ni kama ifuatavyo:-
- Umri miaka 43
- Elimu ya chuo kikuu
- Mkristo aliyeokoka
- Nina watoto 3 ambao mama zao wameshaolewa
- Nimeajiriwa
- Mimi ni mweusi, umbo la kati
- Raia wa Tanzania
Ninahitaji kuanzisha mahusiano yenye lengo la ndoa na mwanamke mwenye sifa zifuazo:-
- Awe na miaka 22 - 29
- Elimu ya Diploma au zaidi. Awe anajua kuongea kiingereza fasaha.
- Mkristo aliyeokoka au ambaye yuko tayari kuokoka
- Aweke wazi hali yake ya uzazi na awe tayari kulea watoto atakaowakuta kwa moyo wake wote bila ubaguzi wa aina yoyote. Pia niko tayari kumpokea yeye na mtoto / watoto wake kama anao. Ila tuwekane wazi tu.
- Awe ameajiriwa
- Awe mweupe au maji ya kunde
- Awe mwembamba au umbo la kati lakini si mnene.
Mwenye nia anitumie private message (PM). Asanteni sana.
Najitokeza mbele yenu ili kuweka wazi yaliyo moyoni mwangu. Sifa zangu ni kama ifuatavyo:-
- Umri miaka 43
- Elimu ya chuo kikuu
- Mkristo aliyeokoka
- Nina watoto 3 ambao mama zao wameshaolewa
- Nimeajiriwa
- Mimi ni mweusi, umbo la kati
- Raia wa Tanzania
Ninahitaji kuanzisha mahusiano yenye lengo la ndoa na mwanamke mwenye sifa zifuazo:-
- Awe na miaka 22 - 29
- Elimu ya Diploma au zaidi. Awe anajua kuongea kiingereza fasaha.
- Mkristo aliyeokoka au ambaye yuko tayari kuokoka
- Aweke wazi hali yake ya uzazi na awe tayari kulea watoto atakaowakuta kwa moyo wake wote bila ubaguzi wa aina yoyote. Pia niko tayari kumpokea yeye na mtoto / watoto wake kama anao. Ila tuwekane wazi tu.
- Awe ameajiriwa
- Awe mweupe au maji ya kunde
- Awe mwembamba au umbo la kati lakini si mnene.
Mwenye nia anitumie private message (PM). Asanteni sana.