Mkuu sabb isiwe kwasbb wewe ni muislamu, suala ni kwamba uwezo wakuwatunza unao, pesa lazima iwepo mkuu tuulize sisi ambao tunamiliki hao watu, usijindaganye kwamba unauwezo wakuwaridhisha kitandani tu hilo ni jambo dogo wanawake wawili ni mtihani kama huna pesa za kutosha.Nimefikia maamuzi ya kuongeza mke wa pili kwakuwa mimi ni muislamu na dini inaruhusu, hivyo naomba kwa yeyote aliye tayari ani PM tuwasiliane.
Mie ni mtumishi serikalini ningependa mwanamke awe pia mtumishi, umri ni miaka 42, naishi Mtwara.
Katafute madrasaNimefikia maamuzi ya kuongeza mke wa pili kwakuwa mimi ni muislamu na dini inaruhusu, hivyo naomba kwa yeyote aliye tayari ani PM tuwasiliane.
Mie ni mtumishi serikalini ningependa mwanamke awe pia mtumishi, umri ni miaka 42, naishi Mtwara.
Suleman alipooa wanawake mia saba, uliaambiwa waliotangulia walikuwa na kassoroWa kwanza ana mapungufu gani mzee.
Ata najua basi?Suleman alipooa wanawake mia saba, uliaambiwa waliotangulia walikuwa na kassoro
kuna mtu hana kasoro kweliMke mkubwa ana shida gani ?
Amesema anataka kuongeza mke wa pili haina maana kuwa anaachana na mke wa kwanzaMke mkubwa ana shida gani ?
Swali la kijinga sana hili,una umri gani?Mke mkubwa ana shida gani ?
Haya new gal na Aaliyyah fursa hii hapa.Nimefikia maamuzi ya kuongeza mke wa pili kwakuwa mimi ni muislamu na dini inaruhusu, hivyo naomba kwa yeyote aliye tayari ani PM tuwasiliane.
Mie ni mtumishi serikalini ningependa mwanamke awe pia mtumishi, umri ni miaka 42, naishi Mtwara.
Nyege tu hana loloteWa kwanza ana mapungufu gani mzee.
Hana shida yeyote nimeamua tuMke mkubwa ana shida gani ?
Matukio kawaida katika ndoaUshapigwa tukio la mke wa kwanza jiandae kuongeza na wanne kabisa wote wanafanana
Mpaka nimefikia uamuzi huu vyote hivyo nimeangaliaMkuu sabb isiwe kwasbb wewe ni muislamu, suala ni kwamba uwezo wakuwatunza unao, pesa lazima iwepo mkuu tuulize sisi ambao tunamiliki hao watu, usijindaganye kwamba unauwezo wakuwaridhisha kitandani tu hilo ni jambo dogo wanawake wawili ni mtihani kama huna pesa za kutosha.