Rwabukambara
Member
- Mar 16, 2011
- 41
- 19
Mimi ni kijana nina umri wa miaka 31 kabila langu ni mchagga natafuta mwanamke wa kuoa awe kati ya miaka 22-25 awe na elimu ya chuo, awe mkisto anayemjua Mungu.Kwa yoyote yule ambaye anadhani anaweza kuwa Mke bora anitumie Private Message nitajibu haraka sana. Kabila lolote isipokuwa WAHAYA.Karibuni sana tuungane pamoja tuanze familia.