Natafuta mke wa kumuoa

ndiyo wazazi wake wapo,hakuna maisha tena mimi na yeye,ninamiezi minne niko peke yangu
Miezi 4! Ukioa mwingine akapata changamoto ya kiafya pia utarudisha kwao maana hujafa hujaumbika
 
Nenda Dodoma hapo Wagogo kibao tafuta kigoli mmoja tuu umpige sopu sopu Maisha yaendelee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…