Mimi hapa nipo
We ni mwanamke
YesSandra
Hahaha...unakumbukumbu sana headgeloBro, yule binti mwenye mtoto wa cbg mlikuja kuishia wapi???
Tuanzie hapo
Haya mkuuUkisha mpata, Naomba umpitishe kwangu Quality assurance officer Kabla ya kumuingiza kwenye matumizi
YeahWe ni mwanamke🙄
Sawa
Mbona unajiam na seriousHabari wanajukwaa
Natafuta mwanamke wa kumuoa
Umri wangu ni miaka 30(Hìi ni serious jamani)...kwa alie tayari kwa chochote anachotaka kufaham kutoka kwangu...waweza nitumia text (DM)