subiri wahusika waje. naona wa kwanza tayari ameishajitokeza. mtafungia ndoa kanisani au msikitini? na ukumbi wa harusi umeishalipia au mpaka umpate mhusika kwanza?
wewe sema unatafuta mke full stop.
Hiyo ya kufunga ne ndoa ni dalili za uongo,kwani maana ya mke ni mliyefunga naye ndoa.