Uongo mweupe sana huu. Mwaka huu sherehe za kuukaribisha mwaka mpya AIM mall nilimuona, huna urefu wa Barnaba akufikie kiunoni na si ajabu mnaweza kuwa sawa sawa tu.Picha tu huyo..huyo dogo barnaba mimi nikisimama nae ananifikia kiunoni..yani anaonekana ni mdogo wangu wa mwisho
Yani nilingane urefu na barnaba?Uongo mweupe sana huu. Mwaka huu sherehe za kuukaribisha mwaka mpya AIM mall nilimuona, huna urefu wa Barnaba akufikie kiunoni na si ajabu mnaweza kuwa sawa sawa tu.
Nimesema huna urefu wa Barnaba akufikie kiunoni na si ajabu mnaweza kuwa sawa sawa tu, jaribu kuwa muelewa...
Okay twende na namba...Nimesema huna urefu wa Barnaba akufikie kiunoni na si ajabu mnaweza kuwa sawa sawa tu, jaribu kuwa muelewa...
Duniani kuna watu, viatu, kandambili na manyau mkuu...! So zoea tu, hii JF kuna watoto wengi sana..
Dah mjomba iddi hizi height za kina wiz khalifa ujue!Okay twende na namba...
1.93m
Ukipata wakwake utaweka
Yaaah mimi nalingana na zlatan Ibrahimovic kanipita inches 2 au 3 nadhaniDah mjomba iddi hizi height za kina wiz khalifa ujue!
Bac sawa ngoja mama mtu hapo juu akipata height ya mjomba barnaba atakuleteaYaaah mimi nalingana na zlatan Ibrahimovic kanipita inches 2 au 3 nadhani
Barnaba urefu wake rula mbili TU za kwenye mkebe wa hesabuBac sawa ngoja mama mtu hapo juu akipata height ya mjomba barnaba atakuletea
Bac sawa ngoja mama mtu hapo juu akipata height ya mjomba barnaba atakuletea
Naona mzee unawataka ubaya watuBarnaba urefu wake rula mbili TU za kwenye mkebe wa hesabu
Ahsante kwa ushauriUsije ukamtumia mtoto wa watu ukakimbia mzee...
Kama kuna uwezekano tafuta mwanamke asiye na mtoto. Inahitajika busara kubwa saana kuishi na mwenza ambaye tayari ana mtoto na mwanaume/ke mwingine.
Ha ha haaaaMwili wa dogo janja au barnaba...
Wakija hapaa wenyewe watasema hiyo ni miili ya watu wenye gubu
Ka mwili kanguBarnaba huyu hapa View attachment 1577062Dogo janja mhh labda sijamuona kwa huu mwaka wote
Shukrani mkuu. Kila ushauri hapa utazingatiwa.mapenzi hutengenezwa,,, fundi ni mwanaume..... hakuna mwanamke wa kuaanzia maisha dogo......maisha unayaanza mwanaume....mwanamke anakuja kuwa msaidizi tuuu........we jidanganye eti wa kuanzaia maisha.....eva aliumbwa kuwa msaidizi wa adamu......MSAIDIZI..........we jipigie PUNYETO......mbunye zipo kibao......tafuta pesa,,,,utampata automatic......
Weka yako tuone, ficha uso na emoj πKa mwili kangu
Mungu akupe hitaji la moyo wako kaka.Mimi ni kijana wa kiume umri yapata miaka 30 sasa. Mimi si mtumiaji sana wa Jamii forum ila nilijiunga kwa ajili ya kupata taarifa mbalimbali. Lakini mwaka huu nimebahatika kupata ajira serikalini (Ajira mpya) Hivyo ninaanza rasmi maisha ndani ya jiji la DSM. Ingawa nimezungukwa na wanawake wengi lakini Bado kuna changamoto moja ya kumpata mtu aliye serious na maisha.
Kutokana na mwonekano wangu napendwa sana na mabinti wadogo na hasa wa rika la chuo. Nao sio kosa lao bali ni vile mimi ninavyowavutia wao. Hivyo basi nakuja kwenye jukwaa hili kutafuta mwanamke aliye serious na maisha tuanze pamoja kwa maana naamini kinaweza kikawa kigezo kimoja wapo cha sisi kudumu na kupendana.
Wanasema ndoa si jambo la kitoto. Ila mimi nimesoma nimebahatika kupata kazi. Sasa nasubiri nini? Utaniambie nile ujana. Sa si nile na mke wangu huo ujana tukiwa na baraka za wazazi.
Sifa zangu:
Mwembamba maji ya kunde
Mwili wa wastani (sio giant) dizaini ya mwanamuziki kama barnaba au dogo janja wa sasa (sio yule wa zamani)
Dini yangu mkristo.
Changamoto:
Ndio kwanza naanza maisha
Sina gari, sina nyumba
Nimepanga chumba kimoja na sebule.
Salary ya wastani na (nimeanza kukatwa bodi ya mkopo)
Sifa za mwanamke:
1. Awe serious na mkweli
2. Awe tayari kupima (ikiwezekana pima kabisa we mwenyewe ili tukienda wawili usiwe na wasi)
3. Awe na kwao.
4. Aendane na mwili wangu asinizidi yaani asiwe bonge akaja kunidunda bure nikichelewa kurudi kwenye game za uefa (joke)
5. Muajiriwa au shughuli yoyote inayomuingizia kipato halali. (Muajiriwa atapewa kipaumbele)
6. Umri wowote wa kuolewa na asizidi miaka 30
7. Mwenye mtoto mdogo ruksa, lakini asiwe mkubwa wastani wa mwaka mmoja hivi kushuka chini itapendeza zaidi (kwani atakuwa amenipa wakati mzuri wa kujiandaa hadi atakapoanza shule) lakini awe mkweli kueleza baba wa mtoto yuko wapi na kwanini hayupo nae. Asidanganye.
8. Awe mkazi wa Dar es Salaam. Mambo ya Distance love siyataki.
9. Dini yoyote (tutajua wenyewe namna ya kuyajenga)
Kwa aliye serious na maisha na mwenye ndoto ya kuishi na mume unakaribishwa DM tuyajenge.
Pia nitaleta mrejesho hapa kwa wenzangu wenye nia ya kweli kama mimi.