princess ariana
JF-Expert Member
- Aug 19, 2016
- 7,551
- 14,379
Sikuhizi usipokua na kazi wala shuguli huolewi
Ni vile mambo yamebadirika. Huwezi kumtegemea mume kwa kila kitu lazima na wewe ujishughulishe. Kumbuka siku hizi tumejijengea tabia ya watoto kuwapeleka shule za kulipia ili nao wapate elimu ya ushindani. Hebu fikiria zile shule gharama zake ni milioni kabisa. Baba bahati nzuri nina kamshahara, je huo mshahara tu ndo tule nyumbani?, ndo tusomeshe watoto shule hizo ? Tulipe pango? Vipi kuhusu familia maana kuna wazazi waliotulea lazima watutolee macho wakipata shida. Hivyo ni lazima wote wawili muingize kipato ndipo hata kujenga kutakuja bila hivyo maendeleo yatakuja lakini kwa kuchelewa sana. Ila ugomvi ndani hautaisha. Maana hela itakuwa inaisha mapema halafu mahitaji bado.Sikuhizi usipokua na kazi wala shuguli huolewi
TunajuaNi vile mambo yamebadirika. Huwezi kumtegemea mume kwa kila kitu lazima na wewe ujishughulishe. Kumbuka siku hizi tumejijengea tabia ya watoto kuwapeleka shule za kulipia ili nao wapate elimu ya ushindani. Hebu fikiria zile shule gharama zake ni milioni kabisa. Baba bahati nzuri nina kamshahara, je huo mshahara tu ndo tule nyumbani?, ndo tusomeshe watoto shule hizo ? Tulipe pango? Vipi kuhusu familia maana kuna wazazi waliotulea lazima watutolee macho wakipata shida. Hivyo ni lazima wote wawili muingize kipato ndipo hata kujenga kutakuja bila hivyo maendeleo yatakuja lakini kwa kuchelewa sana. Ila ugomvi ndani hautaisha. Maana hela itakuwa inaisha mapema halafu mahitaji bado.
Upo mkoa gani depalHello Dear future husband, mkeo niko hapa ila niko mkoani 🙂
Sawa umenena vyema. Nalo litazingatiwaTunajua
lakini pengine hata wewe una uwezo wa kumpa hio shuguli ya kujishugulisha ( au napo pagumu mkuu)
Mi nafikiri tafuteni wanawake wenye vision ambao hata ukiwapa/ukiwatafutia shuguli watafanya ,mtashauriana,mtashirikiana kujenga familia pamoja kama kitu kimoja.
Hilo swala la Awe na kazi/biashara naona kama lina ukali sana, maana wapo wasionavyo kwasababu fulani fulani ila wanaweza kuwa mke bora unaemhitaji endapo utawawezesha
Sent using Jamii Forums mobile app
Una akili nzuri we mdada 💪Tunajua
lakini pengine hata wewe una uwezo wa kumpa hio shuguli ya kujishugulisha ( au napo pagumu mkuu)
Mi nafikiri tafuteni wanawake wenye vision ambao hata ukiwapa/ukiwatafutia shuguli watafanya ,mtashauriana,mtashirikiana kujenga familia pamoja kama kitu kimoja.
Hilo swala la Awe na kazi/biashara naona kama lina ukali sana, maana wapo wasionavyo kwasababu fulani fulani ila wanaweza kuwa mke bora unaemhitaji endapo utawawezesha
Sent using Jamii Forums mobile app
Una akili nzuri we mdada
😂😂😂😂😂😂😂😂Mwili wa dogo janja au barnaba...
Wakija hapaa wenyewe watasema hiyo ni miili ya watu wenye gubu
Tunajua
lakini pengine hata wewe una uwezo wa kumpa hio shuguli ya kujishugulisha ( au napo pagumu mkuu)
Mi nafikiri tafuteni wanawake wenye vision ambao hata ukiwapa/ukiwatafutia shuguli watafanya ,mtashauriana,mtashirikiana kujenga familia pamoja kama kitu kimoja.
Hilo swala la Awe na kazi/biashara naona kama lina ukali sana, maana wapo wasionavyo kwasababu fulani fulani ila wanaweza kuwa mke bora unaemhitaji endapo utawawezesha
Sent using Jamii Forums mobile app
Lenie pita hapa dada yangu....Hello Dear future husband, mkeo niko hapa ila niko mkoani
Na kikao cha mahari kimeshakaa kulee..Uwiii Depal sema ulikua unatania pls
Kwakweli sijamuelewa aisee, ila bro usiof mipango yetu iko pale pale, itakua hakumaanisha alivyocomment hayo maneno😄Na kikao cha mahari kimeshakaa kulee..
......ngoja tuone kama alitania au anamaanisha..Kwakweli sijamuelewa aisee, ila bro usiof mipango yetu iko pale pale, itakua hakumaanisha alivyocomment hayo maneno