jackson kanene
Member
- Jan 7, 2012
- 92
- 27
mm ni kijana wa miaka 28 ni nayo kazi inayoniwezesha kuishi na kuweza kumhudumia m2 mwingine tatizo ni kuwa nahitaji kuoa xaxa but cjui nianzie wapi kwa xaxa coz kila nikihadithiwa masaibu ya ndoa napata shaka kuwa mmoja wao!bt kama unaweza nipa ushauri nitashukuru xana kwani utakuwa umenipa mwanga kijana mwenzio,tatizo ni kuwa cna wazazi i mean yatima naamin wangekuwepo ingekuwa chachu ya kuniongoza'mawasiliano yangu ni 0683127223 au 0754595688 plz mwenye kuguswa na hili naomba hata sms itatosha.