Mzee wa fund
JF-Expert Member
- Oct 24, 2010
- 514
- 89
- Thread starter
- #21
NANI KAKUDANGANYA KWAMBA MKE ANAPATIKANA Jamii Forums
kwani wewe wadhani kazi ya hili jukwaa ni nini?Are you a Great Thinker?.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
NANI KAKUDANGANYA KWAMBA MKE ANAPATIKANA Jamii Forums
Mh, sasa si ma house girl ndo umetutosa?
kwani wewe wadhani kazi ya hili jukwaa ni nini?Are you a Great Thinker?.
kwani wewe wadhani kazi ya hili jukwaa ni nini?Are you a Great Thinker?.
Unampenda Mucha Mungu!!!? Mwambie huyo Mwenyezi Mungu akupe. Na ukimuomba kikweli atakupa kile kitakachokufaa maishani mwako na yeye aendelee kutukuzwa. Hizo sifa ulizozitaja nyingine ni za kibinadamu tu. Yaweza kukupa mweupe, njiti na mpenda ujasiliamali wala hana hata mpango wa ajira na akakutoa kimaisha na ukawa mwanaume mwenye raha kwenye maisha yako.Mimi ni mwanaume(32).Mwajiriwa wa serikalini.Ni mweusi,mnene kiasi,mcha mungu.Napendelea mwanamke mwenye ajira serikalini.Mkristo,mcha mungu,umri(26-31).Tafadhali nina maanisha.Mwenye utayari ani PM nitampa namba ya simu yangu.
Wasee waweza tafuta kisura asiye jua kusoma wala kuandika ili mradi awe mkulima hodari, kubeba mizigo mikubwa, salam kwa goti nk. Ushauri usiogope kujichanganya na wadada na kuongea nao maana wapo tele wenye sifa unazozitaka lakini hawapati wavulana wa kuchart nao.Use your common sense man, mke hatafutwi kwenye mtandao tafuta mwenyewe au omba wazee wa kwenu wakutafuitie kwa kuwapa vigezo unavyohitaji
Halafu mademu wanaotafuta wanaume kwenye NET utakuta wengi ni Wazee na hawana mvuto wowote.NANI KAKUDANGANYA KWAMBA MKE ANAPATIKANA Jamii Forums
Mimi ninashida,lakini nashangaa baadhi ya members wa JF Wananikashifu.Mfano tangu nijiunge na JF sijawahi kusoma swalikama"unadhani mke hupatikana JF?."tafadhali jamani tulitumie vizuri hili jukwaa.