Natafuta Mke mwema vs Mume mwema

Natafuta Mke mwema vs Mume mwema

LOVED

Member
Joined
Jan 23, 2013
Posts
49
Reaction score
24
Nimekuwa nikikutana na sentensi hizo hapo juu,,natafuta mke mwema au mume mwema.Mimi nadhani tukubaliane mume mwema au mke mwema yupo ndani yako.
MKE MWEMA
Utamkuta mtu anataka mke mwema,,we je ni mwema? Anataka bikra,we je bikra? Mke mwema yuko ndani yako,tabia unazozitaka kagua kama unazo.Ni wanawake wangapi umewavunja mioyo huko utokako na leo unakuja unalia hapa nataka mke mwema.Utapata anaefanana na wewe usipoteze wakati kwa kuwakataa unaofanana nao
MUME MWEMA
Ndoa si jeuri,,elimu kubwa wala pato kubwa,ndoa ni zaidi ya hisia na maelewano.Utamkuta mdada maringo,jeuri,mapozi,,n.k kisa ana elimu au ana pesa.Punguza maringo dada utazeekea kwenu.
Utapataje mume mwema wakati we mwenyewe jeuri na sista mapozi? UTII NI BORA kuliko sala na sadaka zako.Tenganisha pato,elimu na Maisha,,maisha acha yaitwe maisha.
NAWATAKIENI KILA LA KHERI KTK KUTAFUTA MNAO-MATCH NAO ila punguzeni masharti (principles) mtawapata mapema,mambo mengine mtarekebishana mbele ya safari
 
Mi nlijua we ni agent loo maana na mimi natafuta
 
Nimekuwa nikikutana na sentensi hizo hapo juu,,natafuta mke mwema au mume mwema.Mimi nadhani tukubaliane mume mwema au mke mwema yupo ndani yako.
MKE MWEMA
Utamkuta mtu anataka mke mwema,,we je ni mwema? Anataka bikra,we je bikra? Mke mwema yuko ndani yako,tabia unazozitaka kagua kama unazo.Ni wanawake wangapi umewavunja mioyo huko utokako na leo unakuja unalia hapa nataka mke mwema.Utapata anaefanana na wewe usipoteze wakati kwa kuwakataa unaofanana nao
MUME MWEMA
Ndoa si jeuri,,elimu kubwa wala pato kubwa,ndoa ni zaidi ya hisia na maelewano.Utamkuta mdada maringo,jeuri,mapozi,,n.k kisa ana elimu au ana pesa.Punguza maringo dada utazeekea kwenu.
Utapataje mume mwema wakati we mwenyewe jeuri na sista mapozi? UTII NI BORA kuliko sala na sadaka zako.Tenganisha pato,elimu na Maisha,,maisha acha yaitwe maisha.
NAWATAKIENI KILA LA KHERI KTK KUTAFUTA MNAO-MATCH NAO ila punguzeni masharti (principles) mtawapata mapema,mambo mengine mtarekebishana mbele ya safari

wewe KE au ME?
 
mie nilidhani unatafuta mke/mme at per.
 
Nimekuwa nikikutana na sentensi hizo hapo juu,,natafuta mke mwema au mume mwema.Mimi nadhani tukubaliane mume mwema au mke mwema yupo ndani yako.
MKE MWEMA
Utamkuta mtu anataka mke mwema,,we je ni mwema? Anataka bikra,we je bikra? Mke mwema yuko ndani yako,tabia unazozitaka kagua kama unazo.Ni wanawake wangapi umewavunja mioyo huko utokako na leo unakuja unalia hapa nataka mke mwema.Utapata anaefanana na wewe usipoteze wakati kwa kuwakataa unaofanana nao
MUME MWEMA
Ndoa si jeuri,,elimu kubwa wala pato kubwa,ndoa ni zaidi ya hisia na maelewano.Utamkuta mdada maringo,jeuri,mapozi,,n.k kisa ana elimu au ana pesa.Punguza maringo dada utazeekea kwenu.
Utapataje mume mwema wakati we mwenyewe jeuri na sista mapozi? UTII NI BORA kuliko sala na sadaka zako.Tenganisha pato,elimu na Maisha,,maisha acha yaitwe maisha.
NAWATAKIENI KILA LA KHERI KTK KUTAFUTA MNAO-MATCH NAO ila punguzeni masharti (principles) mtawapata mapema,mambo mengine mtarekebishana mbele ya safari

ok sister hapo umenena kuna wasichana wengi wa namna hiyo hawena habari kabisa na mambo ya maisha pamoja na familia, wao wanaiga tu wanachokiona mitandaoni.mf binti anataka kuolewa hawezi au hajui hata kutayarisha chakula (kupika) cha familia je atawezaje kuitunza hiyo familia anyokwenda.kila kitu kununua.
 
Mi nlijua we ni agent loo maana na mimi natafuta

Afu we amu wewe siku nikikukata utanitajia jina langu la ukoo...

Ndio nini kunichomesha mahindi pasaka??
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom