part za jf zinafanyika?Kila la heri mkuu.
JF ina watoto wakali wengi sana na wanajielewa...
Ukiwa nyuma ya keyboard huwezi elewa, ila ukihudhuria zile party za JF ndio utaelewa namaanisha nini....
All the best.
Labda domo zegehivi uko mtaani kweli mnakosa nawaza tu
Huyu jamaa hakati tamaa kaanza kitambo kutafuta mke humu post zake zote ni kutafuta mke!hivi uko mtaani kweli mnakosa nawaza tu
domo zege sasa wa jf ataongea nae vp hujui anafananaje si bora mtaan unamuona kabisa mtu au kwenye shughuli zake hamna wanawakeLabda domo zege
Maskini kweli ana nia Mungu atamsaidia, nakuombea mtoa mada Mungu asikie kilio chako.Huyu jamaa hakati tamaa kaanza kitambo kutafuta mke humu post zake zote ni kutafuta mke!
Atamtongoza kwa kuchat mpaka mwisho wa siku atakutana naye usiku ili asione aibudomo zege sasa wa jf ataongea nae vp hujui anafananaje si bora mtaan unamuona kabisa mtu au kwenye shughuli zake hamna wanawake
ha ha ha eti domo zege zoa zoaAtamtongoza kwa kuchat mpaka mwisho wa siku atakutana naye usiku ili asione aibu
Bahati akute mwanamke mchakaram ndio atafaidi maana bibie atajiongeza akutane na msanii ndio atalia mbona
Domo zege wengi zoazoa tu awe mzuri au mabaya yeye ilimradi kapata