Mcheki huyu hapa.Wakuu Kichwa kinajieleza. Nina Miaka 36
1. Awe Mkristo (Sio Msabato)
2. Umri miaka 25-30
3. Ikiwa ana Mtoto asizidi mmoja
4. Awe mnene asiwe mwembamba
5. Kabila lolote.
Mwenye hizo sifa ani PM
Sasa unataka kumgawa demu wako?. Inabidi akubali kwa hiyari yakeMi nnaye alikuaga dem Wang ana watoto 2 pia ni mwalimu
Huwa hawataki kubadili dhehebuMsabato humtaki mkuu???
Ha! Na ndo maana demu wangu ananizingua eh nishakuelewaHuwa hawataki kubadili dhehebu
Amen asanteMwenyezi Mungu Akujalie Hitaji La Moyo Wako.
Nani?Alikwepo anatangaza hapa sasa hajarudisha feedbacK
Huku JF ni changamoto kwa kweliUsihangaike kutafuta Jf nenda hospital CTC kila siku wanachukua Dawa.
Mkuu nadhani nifuate ushauri wakoAisee bro, ningekushauri kitu kimoja. Nenda kwenye vituo vya ushauri au hizi CTC Center onana na wale wahusika unawaeleza kuwa mimi nina hali hii ila ninahitaji kupata mwenzangu wa ndoa. Wale huwa wanakutanisha watu wenye uhitaji wa namna hiyo. Kuna ndugu yangu alikuwa anapata huduma ya ARV's kwenye kituo kimoja hivi, alimweleza yule nurse pale kituoni hata haikuchukua muda alimkutanisha na dada mmoja na tayari wameshafunga ndoa. Siku aliyoenda alikuta kuna wadada kadhaa walikuwa wameacha picha zao na contacts kwa yule mhudumu..... Mungu akutangulie!
Sawa mkuu ngoja tusubili wajeWakuu Kichwa kinajieleza. Nina Miaka 36
1. Awe Mkristo (Sio Msabato)
2. Umri miaka 25-30
3. Ikiwa ana Mtoto asizidi mmoja
4. Awe mnene asiwe mwembamba
5. Kabila lolote.
NITAKAPOKUWA NIMEMPATA NITAOMBA MODERATORS WAUFUNGE HUU UZI KWAHIYO MKIONA HAUJAFUNGWA MAANA YAKE BADO HAJAPATIKANA
Mwenye hizo sifa ani PM
AsanteNenda CTC utawapata