Mwagito84
JF-Expert Member
- Jan 2, 2016
- 235
- 705
Nina miaka 35 mkristu wa madhehebu ya RC. Nina mtoto mmoja wa kike 7 aged na naishi IRINGA. Natafuta mke mwenye sifa zifuatazo
. Awe mkristo wa dhehebu lolote ila kama ni islamic asiadhiri maisha yangu kwa imani yake
. Awe na akili, mbunifu na mtu anayependa kufanya kazi na kujituma kwenye majukumu yake bila kisimamiwa
. Awe mtulivu na asiwe muongeaji sana
. Ajue maana halisi ya maisha/ndoa na familia
. Awe na adabu, msikivu na mwenye staha. Asiwe na gubu
. Rangi yoyote ila asiwe mwembamba sana. Akiwa na umbo la kiafrika itakuwa safi zaidi.
. Asiwe na mtoto zaidi ya mmoja
.Ajue kupika na awe mama kwelikweli
Incase tuwasiliane. DM
. Awe mkristo wa dhehebu lolote ila kama ni islamic asiadhiri maisha yangu kwa imani yake
. Awe na akili, mbunifu na mtu anayependa kufanya kazi na kujituma kwenye majukumu yake bila kisimamiwa
. Awe mtulivu na asiwe muongeaji sana
. Ajue maana halisi ya maisha/ndoa na familia
. Awe na adabu, msikivu na mwenye staha. Asiwe na gubu
. Rangi yoyote ila asiwe mwembamba sana. Akiwa na umbo la kiafrika itakuwa safi zaidi.
. Asiwe na mtoto zaidi ya mmoja
.Ajue kupika na awe mama kwelikweli
Incase tuwasiliane. DM