Quintellaakn
New Member
- Sep 29, 2022
- 2
- 3
NATAFUTA MFANYAKAZI WA STATIONARY
- Awe msichana mwenye umri wa miaka 22 - 30.
- Awe na ujuzi wa lugha ya Kiingereza na Kiswahili (Kuandika na kuongea)
- Awe na elimu ya kidato cha nne na kuendelea
- Awe na ujuzi wa kutumia Komputer katika shughuli mbali mbali kama vile Typing, Printing n.k
- Awe na ujuzi wa kutumia vifaa vingine vya stationery kama vile printer, laminator, binding machine n.k.
- Awe mkweli na mwaminifu (asiwe mtu mwenye tabia za kuficha ficha mambo).
- Awe na spidi nzuri ya kuandika (typing speed at least 40WPM)
- Awe mtu mwenye heshima kwa watu wote.
- Awe mwaminifu na mwenye bidii ya kufanya kazi.
- Awe na skills mbalimbali mfano uwezo wa kutengeneza kadi za harusi na mualiko mbalimbali.
- Awe mkaazi wa Dar es salaam sanasana karibu na Gongo la Mboto ofisi zilipo.