Wadau
Ninatafuta mtu anayefaa kusimamia shughuli za Pub/Bar iliyopo maeneo ya Kigamboni-Maweni Area mwenye sifa zifuatazo:
1.Mwaminifu na mwenye kujituma
2.Elimu isiyopungua kidato cha nne
3.Mzoefu
4.Mwenye uwezo wa kujenga mahusiano mazuri na wenzake
Kwa yeyote anayehitaji kazi hiyo, tafadhali wasiliana na Mkurugenzi kupitia email: deomoyo@gmail.com
Ninatafuta mtu anayefaa kusimamia shughuli za Pub/Bar iliyopo maeneo ya Kigamboni-Maweni Area mwenye sifa zifuatazo:
1.Mwaminifu na mwenye kujituma
2.Elimu isiyopungua kidato cha nne
3.Mzoefu
4.Mwenye uwezo wa kujenga mahusiano mazuri na wenzake
Kwa yeyote anayehitaji kazi hiyo, tafadhali wasiliana na Mkurugenzi kupitia email: deomoyo@gmail.com