Natafuta mdada wa kuzaa naye

mwamba tafuta mwanamke uowe acha kuja na mambo kama haya kwenye social media ..unatufanya wote tuonekane vilaza......

kama unatamani sana watafute huko mitaani ..humu sidhani kama kunamtu yupo tayari kufanya huu upuuzi
Mwamba anatudhalilisha sana mkuu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom