Natafuta mchumba

jamani we kama unahisi hii post inakukwaza sanaaaaa au haikuhusu, just read and pass, sio lazima ujionyeshe kuwa wewe mjuaji sanaaaaa na kumsaidia Mungu kazi, people are tooooo judgemental in here, sio lazima watu tufanane vipaumbele.

Toa wasifu wako, elimu kazi, unatokea mkazi wa wapi, jifafanue vuzuri
 
siwezi kukulaumu maana hicho ndicho unachoamini, kwani watu walioko mitandaoni sio watu wa Mungu? au ndio umekariri kuwa mwenza wako lazima umpate mahali fulani? mie sina mashaka na imani yangu and thats enough.
Binti unaonekana unamsimamo mzuri sana. Hadi umenivitia japo mimi sio muoaji. Ila Mungu atakusaidia utapata Mume. Endelea kumwomba Mungu kwani yeye ndiye mpaji.
 
Wajumbe wanauliza bikra ipooooooo?? Mbona hujibu hilooooo?
 
Usiweke Vigezo Vya Elimu na Kazi Katika Mapenzi. Utaolewa na Mwenye PHD akawa na Kibamia. Na asijue matumizi Mazuri ya Kitanda.
 
Usiweke Vigezo Vya Elimu na Kazi Katika Mapenzi. Utaolewa na Mwenye PHD akawa na Kibamia. Na asijue matumizi Mazuri ya Kitanda.
Mmmh!! Elimu ina umuhimu wake, kwani wapo wasio na elimu na wana hivyo vibamia pia, lkn hata hao vibamia wana haki ya kupendwa na kuoa pia(yaweza isiwe mimi ila kila mtu ana mtu wake)
 
Sasa mbona age imekutupa mkono bado unatafuta mchumba nikajua mume nijitie kitanzi.

Ulikuwa wapi kupata mchumba primary sekondari mpaka chuo sasa uraiani.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…