bacha
JF-Expert Member
- Aug 19, 2010
- 4,282
- 797
Mie naona atakuweka kwenye 3 bora
Asante DA kwa utabiri wako,hebu mungu azidi kukupa maono mazuri ya utabiri wako!
Mie naona atakuweka kwenye 3 bora
wapwa na mabinamu zangu babu na mabibi,jana usiku nimepata maono,nimeoneshwa kuwa mwenza wangu yuko hapa jamii forum.
Nimeoneshwa taswira ya mwenza wangu kwa mbali lkn sura sijaiona vizuri ila nakumbuka ktk maono nilimuona kavaa shati la kitenge na viatu vya four angel,mara ghafla akavaa kwa style niipendayo ya jeans na tshirt na raba nikachanganyikiwa.
Niko ktk maombi kumuomba 'roho' anitafsirie haya maon sababu siko singo lkn ktk maoni roho anasisitiza mwenza wangu yuko hapa.
''NAKUTAFUTA WEWE ULIYEOTESHWA KUWA I CHEUSIMANGALA NIMETOLEWA UBAVUNI MWAKO''
LUV YOU ALL
Bora umekuwa muwazi. Single wa JF mko wapi jamani dili hilooo!! Changamkeni Kimey upo? Dili hilo
Endelea na maombi ili hiyo mwenza ulioneshwa ''aguswe'' na huyo ''roho'' aliyekufunulia...
Are you serious au unatania maana kama nilivyokuona kwenye picha kama ni yako au la unatisha una figa namba nane, nimekupenda uko wapi nitafute kwa namba hii 0719771022 halafu mambo mengine baadae, Ok !
inawezekana hii bahati yangu taja sifa zako na mimi nikupe, yaani umri wako, elimu yako, na kadhalika ili nikujue kwa undani.
Kwa kuwa hauko single naomba umwache uliye naye then ni PM kwa sababu uliyemwona kwenye ndoto ni mimi, nilikuwa kanisani na shati la kitenge na viatu vya four angle then nilivyorudi home nikabadili nguo nikavaa Tshirt na jnsi nikaenda beach.
nilipomtajia roho jina lako sauti ikaniambia'run for ur life'.
Huyo uliyeoteshwa kwa vyovyote nitakuwa mie baba mtu, ngoja niwasiliane na mama mtu nimweleze kuwa unataka uwe mama mtu mdogo. Lakini je, utaiweza mitala???
inawezekana hii bahati yangu taja sifa zako na mimi nikupe, yaani umri wako, elimu yako, na kadhalika ili nikujue kwa undani.
Hiyo sura uliyoiota, sura yake ilikuwa ya kizee au serengeti boys?
Yaani ulivyoshtuka tu na mi nikaendelea kuota....
Nadhani mafataki Kimey, Roya, The Finest, Generation Y, Kaizer, Acid,Teamo, Fidel, Bigirita et al wamekusoma vizuri.roho kaniambia wewe babu utahusika kuhakikisha 'mafataki'hawachakachui maono.
mhh nahisi ungekuwa kama picha ilivyo, ni hatari na ni mzuri ile mbaya tafadhali tuwasiliane !
Babu hebu soma hapa chini.....Nadhani mafataki Kimey, Roya, The Finest, Generation Y, Kaizer, Acid,Teamo, Fidel, Bigirita et al wamekusoma vizuri.
Ni babu tu amebakia, ni babu tu kumlea mchumba.
niambie ilivyoendelea Kimey, coz roho alivyoniaga akasema sasa naenda kuendelea maono kwa mwenzio.niambie nina hamu ya kujua muendelezo wa maono.
ktk maono sikuoneshwa kufanyiwa interview.