Natafuta mchumba

Natafuta mchumba

kalikalanje

JF-Expert Member
Joined
Jul 2, 2014
Posts
227
Reaction score
285
Mengi yatajulikana baadae ila kiufupi tu natafuta mwanamke mwenye maadili. Nitakuwa 50 yrs old December hii but mama atafutwae awe na umri kuanzia 30 hadi hapo kwangu ila ningependelea awe kati ya 30 - 40.

Naishi UK ni raia nina kazi ya kudumu na siyo ya box kama wengi wasemavyo huko. Anayependa tafadhali aache contact zake hapa. Nasisitiza kuwa huu ni mwanzo tu siko desperate hivyo tuende polepole.
 
Poa please weka nyama kidogo kwenye CV yako samahani lakini unadrive gari gani vile?
 
so mchumba utamsafirisha kuja UK au inakuaje.?
 
Anzia kwa huyu lisa k manake naye anatafuta mwenza
 
Last edited by a moderator:
Ila lisa k mi nimekuita tu baada ya kuona kigezo cha umri cha mtangaza nia, lakini kuna makini mwenyewe, manake humu kuna IDs kibao za kazi, so ukienda kichwa kichwa utajuta tena
 
Last edited by a moderator:
Miaka 50 .. Ulikua huna mahusiano hadi wafika umri huo

wasiwasi wangu mimi ni Mambo atanipa ya ukweli????

hahaha au ndo mambo ya spo......cc Preta ila all the best natamani ningekua nishagonga thete maana hatutaki kufika thete lakini mara nyingi ni baraka cc rubii viza hiyo ya uk😜😜 sijui mji gani
 
Last edited by a moderator:
Kwani wabeba box sio watu? We hujiamini kabisa, Ina maana huwez kutangaza Sera zako bila migongo ya hao wabeba box?
 
Hvi ujana wenu huwa mnautumia mkiwa jela au vipi,nilitegemea vitoto vya miaka 20 kurudi chini ndo vije kutafuta wenza humu,sasa na nyie vikongwe bado mnatafuta tu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom