ilisha juniour
JF-Expert Member
- Dec 26, 2012
- 714
- 219
Natafuta mchumba ambaye hana uzazi na ambaye atakuwa tayari tufunge ndoa baada ya kufahamiana,nipo Kanda ya Ziwa kikazi,Umri miaka 30,elimu yangu ni chuo kipato cha wastani.
Napenda awe na umri kuanzia miaka 26 asizidi 35,awe amejiajiri ama kuajiriwa elimu kidato cha nne na kuendelea,
Mambo mengine tutawasiliana zaidi kwa pm.
Naomba kuwasilisha.
Napenda awe na umri kuanzia miaka 26 asizidi 35,awe amejiajiri ama kuajiriwa elimu kidato cha nne na kuendelea,
Mambo mengine tutawasiliana zaidi kwa pm.
Naomba kuwasilisha.