Tufanye mdogo wake ana miaka 25.
Hivyo 25-12=11, hii ina maana mdogo wake aliolewa akiwa na umri wa miaka 11, kwa hiyo hata shule ya msingi mdogo wa mtu hakumaliza wakati dada yake anasema ana Masters. Mmmmhhhh hili changa la macho.
Asiwe na mtoto?.Kwani wewe utazaa naye nini?.Hutaki kulea mtoto wa mwanamke mwenzio?.How sure you kuwa wewe watoto utakao zaa nao utawatunza hadi ustaafu?.Ukiondoka mapema na wenyewe wanyanyapaliwe?
Asiwe na mtoto?.Kwani wewe utazaa naye nini?.Hutaki kulea mtoto wa mwanamke mwenzio?.How sure you kuwa wewe watoto utakao zaa nao utawatunza hadi ustaafu?.Ukiondoka mapema na wenyewe wanyanyapaliwe?