Natafuta Mchumba

Ndugu zangu hope mko poa.... mwenzenu natafuta mchumba wa kike๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€ hapo nimeona niweke sawa maana kuna Vijana wa hovyo humu.

Kama hapa yupo aje pm tuyajenge asante kwa kunisikiliza
Maisha yamebadilika sana! Nikikumbuka usumbufu nilioupata wakati ninawafukuzia wale wachumba wangu wa mwanzo! Halafu wewe unaweka tu tangazo kirahisi kabisa!

Enzi hizo wakubwa zenu tulikuwa tunatongoza chini ya miembe, visimani, mtoni, kupitia barua zenye sticker na pesa ndani yake, kuwavizia wanapotumwa madukani, nk!

Yale maisha ndiyo basi tena!
 
Sikuhizi pesa mkononi mguu begani mzee๐Ÿ˜Ž
 
Hiyo ni zamani ya kale๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€
Kwa sasa ni bando lako tu..... na hapa nikikosa mimi huyoooo Tinder inanihusu
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ