Dangote Jr
JF-Expert Member
- Aug 15, 2019
- 5,945
- 8,509




mnavopigana mtu anaweza dhani ni serious



yaan kama vile mtu na mdogo ake wanavogombana
Joowzey,
Huo ni udikteta muhusika kaweka tangazo ili achague kidemokrasia wewe unataka kufunga mjadala sio fair
Dinna 96, ]Ushampata,
Tafadhali futa huu Uzi ili watu wasije wakajaa wakat tayar nimewahi!
********Thread closed*******
Dah hahaha yaan askar wangu ulivyolalamika kama nakuona mzee hahah sio fair kabisa huu ni uminyaji wa demokrasia
Sent using Jamii Forums mobile app