Patience123
JF-Expert Member
- Mar 10, 2013
- 5,092
- 8,786
Ha ha ha haa, mbona unaanza kuchukua tahadhari kulikoni?Unataka ya aina gani maana hamkawii kusema ina maji.
Ha ha ha haa, mbona unaanza kuchukua tahadhari kulikoni?Unataka ya aina gani maana hamkawii kusema ina maji.
Hahahaha nimekuelewa sana tena sana
husimkatishe mwenzako tamaa mbona tupoooooHaya kila la heri, lakin hapa utaishia kupata vimeo tu, unless unataka mtu wa kudate naye tu, binafsi humu sina hamu kabisa bora usake huko mtaani kwenu. Nasubiri mrejesho
husimkatishe mwenzako tamaa mbona tupooooo
Poa we nielekeze tuBasi njoo kwangu nidhibitishe
Kwani wewe mkaguzi?????Basi njoo kwangu nidhibitishe
Poa we nielekeze tu
Kwani wewe mkaguzi?????
Mimi ni kijana wa kiume(25). Ndo kwanza nmemaliza Chuo. Sijawahi kuwa na serious relationship. Kwa sasa sina kipato cha uhakika. Natafuta mwanadada mchamungu na mchapakazi. ambaye tutakuwa wapenzi na baadae Wanandoa. Kama yupo naomba ani PM.
Naomba Hoja hii ichukuliwe kwa uzito wake.

Mimi ni kijana wa kiume(25). Ndo kwanza nmemaliza Chuo. Sijawahi kuwa na serious relationship. Kwa sasa sina kipato cha uhakika. Natafuta mwanadada mchamungu na mchapakazi. ambaye tutakuwa wapenzi na baadae Wanandoa. Kama yupo naomba ani PM.
Naomba Hoja hii ichukuliwe kwa uzito wake.
wewe subiria type yako unayoitaka usilalame hapaView attachment 370304
Nyie ambao hamjakuwa na kipato huwa mnakuwa wapole lkn baadae mambo yakikunyookea utaskia Mara ooh its not my type![]()
![]()
![]()
![]()