Natafuta mchumba

Natafuta mchumba

Haya kila la heri, lakin hapa utaishia kupata vimeo tu, unless unataka mtu wa kudate naye tu, binafsi humu sina hamu kabisa bora usake huko mtaani kwenu. Nasubiri mrejesho
husimkatishe mwenzako tamaa mbona tupooooo
 
Mimi ni kijana wa kiume(25). Ndo kwanza nmemaliza Chuo. Sijawahi kuwa na serious relationship. Kwa sasa sina kipato cha uhakika. Natafuta mwanadada mchamungu na mchapakazi. ambaye tutakuwa wapenzi na baadae Wanandoa. Kama yupo naomba ani PM.
Naomba Hoja hii ichukuliwe kwa uzito wake.
1469360687685.jpg

Nyie ambao hamjakuwa na kipato huwa mnakuwa wapole lkn baadae mambo yakikunyookea utaskia Mara ooh its not my type
 
Mimi ni kijana wa kiume(25). Ndo kwanza nmemaliza Chuo. Sijawahi kuwa na serious relationship. Kwa sasa sina kipato cha uhakika. Natafuta mwanadada mchamungu na mchapakazi. ambaye tutakuwa wapenzi na baadae Wanandoa. Kama yupo naomba ani PM.
Naomba Hoja hii ichukuliwe kwa uzito wake.

Kwa ushauri tu , badili mawazo Tafuta kwanza kipato ndo utafute mwanamke , mwanamke amezaliwa kupata ulinzi toka kwa mwanaume (this is nature ) ulinzi wa wakati huu ni pesa au mali au uwezo wowote ule utakaompa amani .

Siyo mkeo analia matatizo na wewe unalia matatizo (hii ni against na uumbaji ) ..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom