Hahahahahahaha, umenichekesha sana eti ni majaribu ina maana inawezekana kaja na new I'd ila ni mkongwe humu.Account yako nyingine ni ipi?
Yaan kila I'd inayotafuta mchumba ni I'd mpya au ambayo haitumiki.
Majaribu haya
Kila mtu na masharti yake mkuu, mtu kama anakidhi vigezo opportunity never comes twice awahi mapema hapo."Awe na kazi"... Unatafuta mchumba au backups?!..haka ka kigezo kanaonesha jinsi gani wanaume wengi wanavyoogopa maisha...usjali utapat mkuu
Mkuu hahahahaha mwache abahatishe bahati yake humu si ndyo HOME OF THE GREAT THINKERS??? kwa hiyo kaona bora aje JAMII FORUM kuna wanawake wenye IQ KUBWA.Kweli wanaume tumebaki wachache
Ndiyo mkuu. Inabidi kumfuata na wewe uende na fekero.Hahahahahahaha, umenichekesha sana eti ni majaribu ina maana inawezekana kaja na new I'd ila ni mkongwe humu.
Yeah kweli ...ila kutofautian mitazamo sio mbaya maan tuko tofaut humu...jion njemaKila mtu na masharti yake mkuu, mtu kama anakidhi vigezo opportunity never comes twice awahi mapema hapo.
I'd za zamani zimeshaoa na kuolewa.Account yako nyingine ni ipi?
Yaan kila I'd inayotafuta mchumba ni I'd mpya au ambayo haitumiki.
Majaribu haya
Hahaha hayaI'd za zamani zimeshaoa na kuolewa.
Kwani wa humu si wanakaa huko pia, ameamua kutafuta humu kama na Mimi nitakavyo amua kutafuta humu, kigezo cha mke wangu lazima awe mwana jf,Huko unakoishi hakuna wanawake mpaka uje kutafuta humu?