Milembe Ulimwengu
New Member
- Aug 30, 2014
- 4
- 1
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza wazi.
Kwa jina naitwa Milembe Anthony-24 yrs.
Pia ni mawanafunzi wa shahada ya kwanza katika elimu na utawala chuo kikuu cha mzumbe kampasi kuu Morogoro najitokeza mbele yenu ndugu jamaa na marafiki popote pale mlipo mnisaidie.
Natafuta mchumba wa jinsi ya kike mwenye umri kati ya 18-21,awe anajua kuongea kiingereza hata kwa dakika mbili tatu, mrefu kiasi, mwembamba kiasi,mcha mungu isipokuwa muislamu,awe na elimu ya kuanzia kidato cha nne na kuendelea,awe tayari kuish mkoa wowote hapa nchini,asiwe mtumiaji wa vipodozi,mwenye bidii na kujituma katika kazi,kwa mawasiliano zaidi piga 0764189966
Kwa jina naitwa Milembe Anthony-24 yrs.
Pia ni mawanafunzi wa shahada ya kwanza katika elimu na utawala chuo kikuu cha mzumbe kampasi kuu Morogoro najitokeza mbele yenu ndugu jamaa na marafiki popote pale mlipo mnisaidie.
Natafuta mchumba wa jinsi ya kike mwenye umri kati ya 18-21,awe anajua kuongea kiingereza hata kwa dakika mbili tatu, mrefu kiasi, mwembamba kiasi,mcha mungu isipokuwa muislamu,awe na elimu ya kuanzia kidato cha nne na kuendelea,awe tayari kuish mkoa wowote hapa nchini,asiwe mtumiaji wa vipodozi,mwenye bidii na kujituma katika kazi,kwa mawasiliano zaidi piga 0764189966