Natafuta mchumba wa kike

Natafuta mchumba wa kike

malifimbo

Senior Member
Joined
Apr 2, 2013
Posts
129
Reaction score
32
habari wana jamvi.
mm ni mvulana miaka 25. nina elimu ya chuo kikuu.natafuta mchumba wa kike ambaye tukiridhiana awe mke wangu hapo baadae.
Sifa za mtu ninaye mhitaji.
1.awe angalau na elimu ya kidato cha nne
2.asiwe muislamu maana mm ni mkristo
3.awe anatokea mkoa wote
4.mwenye mchango wa kimawazo ktk maisha
5.asiwe mnene
kama thread hii haikuhusu n bora upite tu kuliko kukejeli mtu.
tuma sms 0788014921 kwa aliye tayari.asanteni na mungu awabariki
 
habari wana jamvi.
mm ni mvulana miaka 25. nina elimu ya chuo kikuu.natafuta mchumba wa kike ambaye tukiridhiana awe mke wangu hapo baadae.
Sifa za mtu ninaye mhitaji.
1.awe angalau na elimu ya kidato cha nne
2.asiwe muislamu maana mm ni mkristo
3.awe anatokea mkoa wote
4.mwenye mchango wa kimawazo ktk maisha
5.asiwe mnene
kama thread hii haikuhusu n bora upite tu kuliko kukejeli mtu.
tuma sms 0788014921 kwa aliye tayari.asanteni na mungu awabariki
Mtamuweza binti yangu?
 

Attachments

  • 1400005336482.jpg
    1400005336482.jpg
    65.2 KB · Views: 490
'Because I'm happy, clap along if you feel like happiness is the truth'
 
vigezo ninavyo ila sina vocha na hutaki mtu akufate MMU
all the best
 
Elimu ya chuo kikuu . Dah ata kujieleza ujui kijana dah wanaume tuna kazi kweli we wa pande zipi mkuu ? Anyway nakushauri upitie kwa babu Asprin akufunde kidogo.
 
Last edited by a moderator:
Sins ubaguz siwez kuoa muislamu tutashindanana kwenye maamuz ya nn
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom