Olivier goetzl
New Member
- Nov 7, 2020
- 2
- 2
Natafuta mchumba wa kike ambaye aliye ni muelewa awe maeneo ya Pwani hususani Dar es Salaam au Bagamoyo
Mwenye upendo wa kweli umri wake uanzie miaka 21 na kuendelea dini awe mkristo itapendeza zaidi awe tayari kuja tuishi wote Bagamoyo.
Kwa maelezo zaidi aje PM
Mwenye upendo wa kweli umri wake uanzie miaka 21 na kuendelea dini awe mkristo itapendeza zaidi awe tayari kuja tuishi wote Bagamoyo.
Kwa maelezo zaidi aje PM