Habari zenu wanajamvi,
Natafuta binti mzuri kwaajili ya uchumba (siyo mapenzi). Nahitahi awe na sifa zifuatazo:
1. umri miaka 20 hadi 30.
2.rangi isiwe nyeusi
3.urefu wowote
4.elimu yeyote
5.kabila lolote tz isipokuwa tanga hapana
6. Asiwe mwembamba
7. Awe muislamu mwenye kujitambua.
Kwa yeyote mwenye sifa tajwa hapo juu au mwenye kuweza kuniunganisha na mwenye sifa ani PM.
Miaka 20 huoni kuwa ni mwanafunzi wa sekondari hivi we mzima kweli.
Miaka 20 huoni kuwa ni mwanafunzi wa sekondari hivi we mzima kweli.
Akiwa wa umri atapewa nafasi ya kusubiriwa na hatimaye kuendelezwa kwa ada yangu.
Kuwa makini na macho. " Kabila lolote kutoka tz........................!!?
Siyo Kila Mwenye Miaka 20 Ni Mwanafunzi Wa Secondary Hebu Acha Umburula
Miaka 20 huoni kuwa ni mwanafunzi wa sekondari hivi we mzima kweli.
Ukabila umemkamata mpaka amehamia kwenye umkoa sasa....