Natafuta mchumba mwenye makalio makubwa

Natafuta mchumba mwenye makalio makubwa

Mimi naishi Dodoma,nafanya kazi wapo ya taasisi moja ya bunge la Tanzania nina maisha ya kuridhisha sana kwani nina nyumba 3,magari 3. yangu, yake naya mtoto ila tu mchumba awe na kitambi kikubwa.Karibu saaana Mfyuu Mfyuu!!

Nilifikiri wenye vitambi ni wazembe kumbe ni kwa matakwa ya wenza wao!!?
 
Mtume Paulo alisema....
"MAZUNGUMZO MABAYA UHARIBU TABIA NJEMA"......
Pia ndugu zangu (wakristo) tusisahau....... "KILA NENO (LISILO NA MAANA) LITATOLEWA HESABU YAKE SIKU YA HUKUMU"
 
Mimi naishi Dodoma ,ni mfanyakazi wa Taasisi moja wapo ya Bunge la Tanzania ,sijaoa , ila niko na maisha ya kuridhisha sana nina gari mbili yangu na yake napenda kumwambia hivyo mchumba mwenye sifa hiyo ok.

Karibu mwaaaaaaaa! Sura sio muhimu sana, ila awe mtulivu.
KUMBE NDIYO MAANA MCHINA ALILETA DAWA ZA KUKUZA MAKALIO ILI DADA ZETU WAJIPATIE MAGARI KIRAHISI. ni sheeeeeeeeeedaaa
 
Mmmmh! hao mbona wapo wengi mkuu,nenda pale Msamvu morogoro.
 
Mh ivo mkuu na ww unataka gari au? Maana huyo kasema mkiwa tayar mseme wewe ndo umejibu mpo tayari

Hahahaha hata kama nikitaka gari siwezi kuwa mchumba wa mtu kwa sababu mimi ni me. Soma uzi vizuri.

Hata hiyo namshukuru sana Mungu ktk mahitaji yangu kwenye magari nilishatoka huko kitambo sana. It's not in my preference list.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom