Natafuta mchumba mwenye makalio makubwa

Natafuta mchumba mwenye makalio makubwa

tamimusalim

JF-Expert Member
Joined
Jun 17, 2014
Posts
1,822
Reaction score
499
Mimi naishi Dodoma ,ni mfanyakazi wa Taasisi moja wapo ya Bunge la Tanzania ,sijaoa , ila niko na maisha ya kuridhisha sana nina gari mbili yangu na yake napenda kumwambia hivyo mchumba mwenye sifa hiyo ok.

Karibu mwaaaaaaaa! Sura sio muhimu sana, ila awe mtulivu.
 
Mimi naishi dodoma ,ni mfanyakazi wa taasisi moja wapo ya bunge la tanzania ,sijaoa , ila niko na maisha ya kuridhisha sana nina gari 2 yangu na yake napenda kumwambia hivyo mchumba mwenye sifa iyo, ok karibu mwaaaaaaaa!!!! Sura sio muhimu saaaana, ila awe mtulivuuu

Job True True.
 
Unataka umfanyie kale ka mchezo nini?

nway utajuta wewe kwa njia unayotumia kutafuta mke
 
Mimi naishi Dodoma,nafanya kazi wapo ya taasisi moja ya bunge la Tanzania nina maisha ya kuridhisha sana kwani nina nyumba 3,magari 3. yangu, yake naya mtoto ila tu mchumba awe na kitambi kikubwa.Karibu saaana Mfyuu Mfyuu!!
 
Inategemea na aina gari mkuu siku hizi wanazijua vizurii
 
Mimi naishi dodoma ,ni mfanyakazi wa taasisi moja wapo ya bunge la tanzania ,sijaoa , ila niko na maisha ya kuridhisha sana nina gari 2 yangu na yake napenda kumwambia hivyo mchumba mwenye sifa iyo, ok karibu mwaaaaaaaa!!!! Sura sio muhimu saaaana, ila awe mtulivuuu


Mi nina dawa za mchina hata kwa huyo unayegonga anaweza umuka ndan ya siku 7, ni pm
 
Hahahahaaaaaa mkuu mimi nina makalio makubwa ila nataka NDEGE!!!....umenichekesha ujue...

ImageUploadedByJamiiForums1421579752.643429.jpg kama huyuuuu khabibiii
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom