Natafuta mchumba/mume

Natafuta mchumba/mume

Status
Not open for further replies.
😅😅Kule twitter above 30 waliwashiwa moto jana mpaka nawaonea huruma.

Anyway una watoto wangapi?
 
Ungekubali kuwa Muislam ningekupatia ji handsome la Kiarabu lina miaka 38, linataka kuja kufanya kilimo cha biashara Tanzania.

Mkifyatua hapo mnatowa mijitoto ya kishombe kishombe, mizuri kuliko ile ya wakimbizi wa wa Msumbiji huko Morogoro.

Kama staili ya kina Abood bus, si unamuona alivyo? mama yao Mluguru kabisa.

Fanya mtoto mmoja from Arab countries au inakuja midume tuh
 
Ungekubali kuwa Muislam ningekupatia ji handsome la Kiarabu lina miaka 38, linataka kuja kufanya kilimo cha biashara Tanzania.

Mkifyatua hapo mnatowa mijitoto ya kishombe kishombe, mizuri kuliko ile ya wakimbizi wa wa Msumbiji huko Morogoro.

Kama staili ya kina Abood bus, si unamuona alivyo? mama yao Mluguru kabisa.
Mpatie Mtoto wako bibi.
 
Ukiwa tayari nicheki nikuunge na ndugu angu..
Yeye umri: 50
Elimu : Mwalimu
Dini :Muslim..
Ukiwa serious lakini.
 
Kama ni mpira mda huu ni dakika ya 88 na bado unashambuliwa sana! Unapigiwa nusu uwanja, weka mpira kwapani, acha masharti Ili mradi awe anapumua tuu
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom