Haupo serious LIR, ongezea nyama kidogo bandiko lishibe!Naishi kigambon Dar es salam, natafuta mchumba/ mume ..
Watu bhana yaani bango halina maelezo ya kutosha amemalizaCV haitishi mkuu. Mwaga mtama kwenye kuku wengi vizuri
Tupo karibu snNaishi kigambon Dar es salam, natafuta mchumba/ mume ..
Ongezea wasifu, umri wako, picha yako, kabila, rangi nk.Naishi kigambon Dar es salam, natafuta mchumba/ mume ..
Sisi wengine Mathomaso hatuamini kama we mwanamkeNaishi kigambon Dar es salam, natafuta mchumba/ mume ..
Karibu pm mkuu... CV yako inaridhisha. Njoo tuanze maishaNaishi kigambon Dar es salam, natafuta mchumba/ mume .
Umri wangu ni miaka 23
Urefu wa wastani
Elimu - diploma
Dini - mkristo
Sifa za mhitajika;
Awe mstaarabu , mengine ni kadri tutakavyokuwa tunaendana.
Tukutane PMNaishi kigambon Dar es salam, natafuta mchumba/ mume .
Umri wangu ni miaka 23
Urefu wa wastani
Elimu - diploma
Dini - mkristo
Sifa za mhitajika;
Awe mstaarabu , mengine ni kadri tutakavyokuwa tunaendana.
Akiongeza mnasema masharti ni mengi Ajioe mwenyeweHaupo serious LIR, ongezea nyama kidogo bandiko lishibe!
Tumesoma....Naishi kigambon Dar es salam, natafuta mchumba/ mume .
Umri wangu ni miaka 23
Urefu wa wastani
Elimu - diploma
Dini - mkristo
Sifa za mhitajika;
Awe mstaarabu , mengine ni kadri tutakavyokuwa tunaendana.
Naishi kigambon Dar es salam, natafuta mchumba/ mume .
Umri wangu ni miaka 23
Urefu wa wastani
Elimu - diploma
Dini - mkristo
Sifa za mhitajika;
Awe mstaarabu , mengine ni kadri tutakavyokuwa tunaendana.