Natafuta mchumba/mpenzi

Natafuta mchumba/mpenzi

Habari Wana JF,

Mimi nina miaka 34 na watoto wawili, niliachana na mme wangu huu ni mwaka wa nne sasa, ila hadi sasa sijapata mtu mwingine hasa wa kuaminika wote ninao wapata naona wadanganyifu, roho inaniuma kuwa sina hata wakunijali na mbaya zaidi upweke umezidi! vigezo na masharti ni awe mkweli, mwenye upendo, mwelevu,mstaarabu na anaejiheshimu na asiwe tapeli wa mapenzi basi.

Nashukuru
Njoo pm fasta
 
dini gani kama mkiristu, hachana na abari za kuolewa, fikiria kulea watt, wewe bado ujatosheka, we vipi tuliza kidude hcho ulee watt, dunia adaa, wtt wanakalibia kuanza kudu kumbe na mama unaitaji?
 
Upweke sio...! pole sana ila uwe makini linapokuja swala la mtu wa kuuondoa naye
 
Ntamudu vip kumpa mapenzi nakutunza familia?
mkuu hebu rudisha picha ni wew umeoa umezaa na mkeo watoto 2 mukaachana akakuachia watoto alafu unataka kuoa mke mwingine anaona watoto wako nimzigo utajiskiaje?au utawafukuza watoto wako ili uoe mke mpia?au utajiskiaje ikiwa hatawapenda hao wanao?tumuogope mungu mimi niviletu pm zimenishinda mfumo huu unanitesa kutumia ila ningemfata nimuoe tena kwa ndoa kabisa.hujui mtoto gani atakusaidia kesho
 
mkuu hebu rudisha picha ni wew umeoa umezaa na mkeo watoto 2 mukaachana akakuachia watoto alafu unataka kuoa mke mwingine anaona watoto wako nimzigo utajiskiaje?au utawafukuza watoto wako ili uoe mke mpia?au utajiskiaje ikiwa hatawapenda hao wanao?tumuogope mungu mimi niviletu pm zimenishinda mfumo huu unanitesa kutumia ila ningemfata nimuoe tena kwa ndoa kabisa.hujui mtoto gani atakusaidia kesho
Mitoto ya kamba huijui wewe
 
tulizana mama..graph ilishafika kwenye maximum point ..poleee .. wakukuo ni pasua kichwa
 
Jaribu kumkumbuka boy wako wa kwanza kabla ya kuolewa yule ndio alikuwa na mapenz ya kwel kwako
 
Inaonekana huna kazi/ajira maalumu ndo maana wanasepa,kulingana na hiyo familia uliyonayo,pia punguza kilele wanaume huhitaji kubembeleza dada
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom