natafuta mchumba mlokole

natafuta mchumba mlokole

Lazma utakuwa muongo huwez kuwa na kila k2 halaf ukaendelea kuwa hai.
Pia hata kama ukmpata huyo nahc utakuwa una mu-undermine coz unahc ua the best in the best.

Emb jarib kujielezea kidogo 2one ukamilif wako unaoxema
 
Muombe BWANA na sio JF,huku pesa mbele kama tai, ukitaka walokole nakushauri ukawatafute church.
cc. lara 1, Madame B, Evelyn Salt..
Nakuunga mkono Baba V, akamuombe Mungu kama kweli anahitaji mchumba mlokole wa kweli. Ila kama anahitaji yule mlokole jina, au kwa lugha rahisi yule anayejifanya mlokole, hata hapa JF wapo wengi sana.

Ila nikupe siri nyingine, akitaka kupata mlokole wa kweli ni sharti pia na yeye awe mlokole wa kweli vinginevyo atapata kila kinachofanana na yeye. Samaki hawezi kuwa na urafiki na paka!
 
yaani unatafuta mchumba mlokole jf, we umechanganyikiwa
 
Muombe BWANA na sio JF,huku pesa mbele kama tai, ukitaka walokole nakushauri ukawatafute church.
cc. lara 1, Madame B, Evelyn Salt..

Ndo mana yake Baba V, ulokole bila pesa ni makelele tu!
Kama mfuko wake unacheka, hata mimi nitakuwa mlokole mbele yake.
Hapa pesa mbele kama fundo la msuli au
Kama bi kizee na matongotongo.
 
Last edited by a moderator:
Kwa umri ulio nao nashindwa kuchangia chochote ila nakushauri Nenda kwenye magazeti ya udaku wana safu za uchumba na urafiki kaweke no yako utapata wengi
 
nina umri wa 23yrs nipo dar nina kila kitu ila nimekosa upendo tumia namba 0765979932

kama una kila kitu,usingekuwa umekosa upendo!!!!!

kama unataka walokole nenda makanisani kwa Kakobe au kwa mama Lwakatare
wapo kule kila siku wanaombewa wapate wachumba!!!!!!!!!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom