Natafuta mchumba/mke

Natafuta mchumba/mke

Eeeeh Mungu akustiri na hao midume wanaotumia ID za kike kaka yangu usije liwa chiboga mwanawane.

Dah. Chiboga ni sooo.
hahhahahahahaha duuu hii hatari...af kawa wa kwanza kucomment..dunia inamambo hii
 
Kila mtu humu anahistoria yake jinsi alivyokutana na mume/ mke wake hadi leo wapo pamoja..

Ukiuliza mmoja mmoja mwingine atakuambia nilikutana nae kwenye basi..mwingine atakuambia nilikutananae kanisan..mwingine atakuambia walikuta bar

Mwingine atasema tulikutana stand ya ubungo

So kila mtu anahistoria yake jinsi alivyokutana na mpenz wake/ mke

Heb tumwache na yeye huyu mwenzetu atengeneze historia yake ya maisha hata yeye akiulizwa atasema mke wangu nilimpatia JF

So lugha za kejeli sio nzuri jamani alafu sio lazima u comment unasoma tu unaacha yalivyo

Yaan kuna watu humu JF kila post anataka aweke comment yake yaan hapitwi na post

So kijana usijali utapata tuu
 
Kila mtu humu anahistoria yake jinsi alivyokutana na mume/ mke wake hadi leo wapo pamoja..

Ukiuliza mmoja mmoja mwingine atakuambia nilikutana nae kwenye basi..mwingine atakuambia nilikutananae kanisan..mwingine atakuambia walikuta bar

Mwingine atasema tulikutana stand ya ubungo

So kila mtu anahistoria yake jinsi alivyokutana na mpenz wake/ mke

Heb tumwache na yeye huyu mwenzetu atengeneze historia yake ya maisha hata yeye akiulizwa atasema mke wangu nilimpatia JF

So lugha za kejeli sio nzuri jamani alafu sio lazima u comment unasoma tu unaacha yalivyo

Yaan kuna watu humu JF kila post anataka aweke comment yake yaan hapitwi na post

So kijana usijali utapata tuu

Asante sana kaka kwa ushauri wako mungu akuzidishie
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom