Natafuta mchumba/mke

Natafuta mchumba/mke

Data given

Member
Joined
May 8, 2014
Posts
68
Reaction score
11
Mimi ni kijana umri 28, mkristo, mtumishi wa serikali,uref Ft 5.4,

Natafuta mchumba au mke mwenye sifa zifuatazo

1. Awe mcha mungu

2.Mwenye upendo wa dhati
kwangu na ndugu zangu pamoja na jamii nzima kwa ujumla

3.Kabila lolote Tz

4.mkristo dhehebu lolote

5.awe mtumishi wa serikali idara yoyote ile ( mwalimu atapewa kipaumbele zaid)

6.awe na umri kuanzia 18-25

"..This is serious not jocking.."
Mwenye sifa hizo ani Pm

N:B Awe tayar kupima HIV
 
Mwe!cku hz ndoa zinawekewa matangazo kama nafasi za ajira!HAYA WENYE SIFA FURSA HII CHANGAMKIENI.
 
Huko ofisini kwako hakuna watumishi wa serikali wa kike umri 18 - 25?
kijijini kwako hakuna, shule zote ulizosoma hakuna ulie elewana naye, kanisani kwako hakuna, mtaani unapoishi hakuna, kazini hakuna ila hawa wanaotumia majina feki na hamfahamiani ndio umelidhika nao! Nina mashaka na wewe mkuu!
Kama kweli serious unaumwa sio utani ehm muone daktari!
 
Huko ofisini kwako hakuna watumishi wa serikali wa kike umri 18 - 25?
kijijini kwako hakuna, shule zote ulizosoma hakuna ulie elewana naye, kanisani kwako hakuna, mtaani unapoishi hakuna, kazini hakuna ila hawa wanaotumia majina feki na hamfahamiani ndio umelidhika nao! Nina mashaka na wewe mkuu!
Kama kweli serious unaumwa sio utani ehm muone daktari!

thatha mbona hata mimi natafuta.,jamaniiiiiiiiiiiiii............,....
 
huko ofisini kwako hakuna watumishi wa serikali wa kike umri 18 - 25?
Kijijini kwako hakuna, shule zote ulizosoma hakuna ulie elewana naye, kanisani kwako hakuna, mtaani unapoishi hakuna, kazini hakuna ila hawa wanaotumia majina feki na hamfahamiani ndio umelidhika nao! Nina mashaka na wewe mkuu!
Kama kweli serious unaumwa sio utani ehm muone daktari!

mpashe mpasheeee hee!
 
HUMU NDANI MBONA HIVI?kuna watu wanakatisha nia hii inakera sasa!mbona wengine wamepata waume humu na wake humu?kwani walianzaje?ukijiona wee huwezi kufanikiwa usifikirie wote hawatofanikiwa wapo wenye nia zao za dhati kabisa humu na wanafanikiwa vizuri kabisa.tusipende kukatishana tamaa.
 
HUMU NDANI MBONA HIVI?kuna watu wanakatisha nia hii inakera sasa!mbona wengine wamepata waume humu na wake humu?kwani walianzaje?ukijiona wee huwezi kufanikiwa usifikirie wote hawatofanikiwa wapo wenye nia zao za dhati kabisa humu na wanafanikiwa vizuri kabisa.tusipende kukatishana tamaa.

thamahani kama tumekuudhi! naomba kukuuliza wewe ni ke / me? is he right kuweka tangazo? kwa nini asinge angalia michango ya baadhi ya members wa kike awape nafasi kwa michango yao awafate pm aeleze nia wakutane kimya kimya afanye tathimini na angeweza fanikiwa kuliko hapa!
mara nyingi ukitongoza hadharani kumpata umtongozae ni nadra sana labda malay.a lakini mtu na akili zake humpati ng'o labda awafuate watu pm atajibiwa vizuri na pengine atafanikiwa!
 
ni wivu tu, uweze kuuvumilia maana penye wengi pana mengi usije takiwa na wengi baada ya hili ombi lako kisha njemba itakayokuwa na wewe akufanye mchepuko
 
HUMU NDANI MBONA HIVI?kuna watu wanakatisha nia hii inakera sasa!mbona wengine wamepata waume humu na wake humu?kwani walianzaje?ukijiona wee huwezi kufanikiwa usifikirie wote hawatofanikiwa wapo wenye nia zao za dhati kabisa humu na wanafanikiwa vizuri kabisa.tusipende kukatishana tamaa.

Asante kwa kuwakumbusha hilo... ndio maana unaona hata siwajib kitu..Mimi huwa nawapuuza tu nakuwaacha kama walivyo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom