Natafuta mchumba mgumba baadae awe mke

Cordy bnei shirk

JF-Expert Member
Dec 13, 2017
305
186
Habari kama kichwa cha habari kinavojieleza natafuta mwanamke mwenye sifa zifuatazo.

Awe muislam na umri usizidi 3O.
Awe mgumba au asiwe na mpango wa kuzaa.
Awe mwenye mapenzi ya dhati na mwenye kupendeka.
Atleast awe amemaliza hata form 4.
Awe mwenye kuvutia.
Awe mchapakazi

Sifa zangu.
Umri wangu ni 26.
Nimesoma ila nimejiajiri.
Ni mtulivu na muaminifu nileye na mapenzi na huruma.
Situmii kilevi chochote wala sina kampan na walevi.
Kwa sasa naishi kwa wazazi wangu wote mpaka hapo ntakapoa.

Sifa zingine na maswali mengine karibu pm.

Nb.naishi dar es salaam na wala sina mpango wa kuhama itakua vizuri zaidi kama wewe itakua mkazi wa dar es salaam pia.
 
Dah!
Kweli duniani kuna mambo.
Kijana una miaka 26, unaishi kwa wazazi wako, hujaoa lakini unataka kuoa mwanamke mwenye miaka 30, Mgumba!!

Hongera, kila la Kheri.

Dah!
Kweli duniani kuna mambo.
Kijana una miaka 26, unaishi kwa wazazi wako, hujaoa lakini unataka kuoa mwanamke mwenye miaka 30, Mgumba!!

Hongera, kila la Kheri.
mwanamke chini ya thelathini boss,kuhusu kuishi kwa wazazi ni mambo ya kawaida sababu sina haja ya kupanga wakati nyumba iko na kuhusu mgumba hayo ni mambo personal atakekua tayari atajua kwanini unataka mgumba.
 
mwanamke chini ya thelathini boss,kuhusu kuishi kwa wazazi ni mambo ya kawaida sababu sina haja ya kupanga wakati nyumba iko na kuhusu mgumba hayo ni mambo personal atakekua tayari atajua kwanini unataka mgumba.
Boss usije ukawa unamtaka kwa ajili ya kumfanyia zindiko ahaaaaaaaa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom