sumbai
JF-Expert Member
- Jun 16, 2014
- 21,039
- 48,152
Niko na natafta mke,mmi ni muumini wa dini ya kibahai,natafta mchumba wa dini yyte,awe na elimu walau ya chuo(ikiwezekana ) mweupe kwani me mweusi,asiwe bonge,staweza kumbeba tukiwa bichi,awe na umri usiozidi miaka 22/23,ayatambue bayana majukumu ya mke,awe tayari kuishi Dar au Mbeya.asiwe mnyakyusa..
Mbona huu uzi upo kama.tetes!??