Nenda pemba, wapo.soma hiki kisa....kuna jamaa m1 alifanikiwa kumpata binti mwenye bikra kama unavyotaka wewe! Jamaa alifurahi sana kama siyo mno. Baada ya kukabidhiwa binti zikapita wiki mbili,jamaa akaenda kwa wakwe zake kutoa shukruni kwa malezi mazuri aliyopewa mke wake na wazazi wake...jamaa akamwanbia ba'mkwe wake mzee nakushukuru kwa malezi mazuri uliompatia binti yako,nimemkuta safi kabisa,nimekuletea hii zawadi pa1 na hizi fedha,unahitaji pongezi sana mzee wangu... Mzee wa watu akamjibu kwa kiswahili chake kilichojaa lafudhi ya kipemba. Unan'shukuru mie kwa lipi haswa, kanshukuru Abubakar kwani yeye akuwa amfira!.. Ckuambi nn kilitokea hapo.